ATI WAZUNGU HAWACHEAT KAMA WAAFRIKA.. KASEMA DADA WA KIBONGO
Posted on
Nov 11, 2012
|
No Comments
Mwenyewe anasema anataka kutoka na mzungu sasa kwani
wabongo/waafrika siyo waaminifu. Anasema ati wazungu wao hawacheat kama Waafrika
na kuwa "wakikupenda wamekupenda kweli". Akatolea mfano wa rafiki
zake x na y na z ambao nao walijirengesha kwa wazungu maeneo fulani jijini Dar
na sasa wawili kati yao wameolewa na wazungu (sijui ni wazungu wa nchi gani).
Na yeye kasema wakati wake umefika na anataka kuona anaweza vipi kuunganishwa na "mtasha" mmoja ambaye ni muoaji ili na yeye hatimaye atulie na kuachana na "vinuko mkono" (maneno yake siyo yangu). Hiii imani inatokana na nini hasa na kuna ukweli ndani yake?
Na yeye kasema wakati wake umefika na anataka kuona anaweza vipi kuunganishwa na "mtasha" mmoja ambaye ni muoaji ili na yeye hatimaye atulie na kuachana na "vinuko mkono" (maneno yake siyo yangu). Hiii imani inatokana na nini hasa na kuna ukweli ndani yake?