photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA UJENZI WA JUMBA LA MIKUTANO NA MAKAO MAKUU YA CCM NA KITEGA UCHUMI MJINI DODOMA LEO.

RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA UJENZI WA JUMBA LA MIKUTANO NA MAKAO MAKUU YA CCM NA KITEGA UCHUMI MJINI DODOMA LEO.

Posted on Nov 12, 2012 | No Comments

 Michoro ya majengo ya Ukumbi,Ofisi za Makao makuu na Hotel ya nyota tano vya CCM yalioanzwa kujengwa mjini Dodoma.
Muonekano kwa mbali.
 Mchoro wa jengo la hoteli ya nyota tano.
Rais wa Zanzibar akiwasili eneo la Makulu mjini Dodoma kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za makao makuu ya CCM, Ukumbi wa Mikutano na Hotel ya Hadhi ya nyota tano leo.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Chama,Ukumbi wa Mikutano na Hotel za Hadhi ya Nyota Tano katika eneo la Makulu Dodoma leo.(Picha na IKULU).

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru