photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > ROBERTO MANCINI NA KAULI YAKE KUHUSU GAME YA MAN CITY NA AJAX.

ROBERTO MANCINI NA KAULI YAKE KUHUSU GAME YA MAN CITY NA AJAX.

Posted on Nov 5, 2012 | No Comments


.

Manager wa club ya Manchester city Roberto Mancini amekubali kwamba game yao ya novemba 6 2012 na Ajax ndio nafasi pekee waliyonayo kwenye champions league na kuhusu majeruhi, amesema wako wachezaji wengine wa kikosi chake ambao wanaweza kucheza vizuri tu.
Mancini alikasirika baada ya mwandishi kumuuliza swali, kwa sababu msimu uliopita  alisema kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kushinda Champions league na leo anasema novemba 6 wana nafasi pekee ya champions legue, Mancini alikasirika na hakujibu swali bali akasema kwa nini unaniuliza mambo ya msimu uliopita, ya mwaka uliopita, ya mambo yaliyopita.
Namkariri akisema “miaka 15 kabla ya mimi kujiunga na Man city, ilikua haijawahi kushinda kombe, ila nilipoingia imeshinda makombe matatu ndani ya miaka miwili, hivyo  usiendele kuwakosea watu heshima”

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru