photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > WANAWAKE MSIBOMOE NDOA/NYUMBA ZENU KWA STYLE HII..

WANAWAKE MSIBOMOE NDOA/NYUMBA ZENU KWA STYLE HII..

Posted on Nov 12, 2012 | No Comments


Wana Jamii Press habari zenu? 
Naomba tujadili jambo hili. Katika pitapita zangu kwenye kutafuta mkate wa kila siku nimekuwa nikiktana baadhi ya wanaume wanalalamika kuwa kwao tendo la ndoa limekuwa janga la kitaifa! Eti utakuta mke akeshabeba mimba ukifika mwezi wa 7 hataki tena tendo la ndoa na akishajifungua eitha kwa njia ya kawaida au kwa operation ndo basi tena. Hapo eti zaidi ya miezi 2 itapita kwa kusema eti daktari kasema. Hivyo mwanaume atakosa haki hiyo takriban miezi 4 na kuendelea. Wanaume hawa baadhi yao walikuwa wanafikiria kusaliti ndoa zao japo mara2 kwa mwezi kwa kudhani labda baadhi yao wanafanya makusudi au hawajui wajibu wao katika ndoa.
Je, me nauliza maswali yafuatayo.. 
Ni muda gani sahihi mwanamke mwenye mimba kuacha kufanya mapenzi? 
Na akishajifungua kwa njia ya kawaida/operation ni muda gan sahihi anapaswa asianze kufanya mapenz?

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru