photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > WANAWAKE WASOMI NI MZIGO KWENYE NDOA, HAWAJUI MAPENZI

WANAWAKE WASOMI NI MZIGO KWENYE NDOA, HAWAJUI MAPENZI

Posted on Nov 13, 2012 | No Comments


Mimi nina marafiki zangu wengi ambao wanalalamika sana kuhusu wake zao kwamba hawajui mapenzi na hawana muda nao. Kila mmoja nikizidi kumuuliza anasema mke wake ni graduate! Hili ninalipata hata mimi kwenye ndoa yangu. Je nyie wanawake, mkisoma ndo kisa cha kutotambua wajibu wenu wa ndoa? Naona ndoa nyingi zilizotulia ni zile ambazo wanaume wameoa wanawake wenye elimu kidogo tu, labda Std 7 leaver au form 4 failure. Ukimfungulia kijisaluni an tailoring mart, na ukimpatia ki Vitz, anaridhika sana na ukirudi home anakupokea na unajipatia kila kitu kwa starehe! Nawapongeza wenye wake wenye elimu kiasi. Kama hujaoa, jaribu kuwa na girlfriend mwenye elimu kiasi achana hawa wasomi ambao ni mizigo!

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru