photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > YAFAHAMU MAPOROMOKO YA MAJI YA MTO KALAMBO MKOANI RUKWA YA PILI KWA UKUBWA BARANI AFRIKA

YAFAHAMU MAPOROMOKO YA MAJI YA MTO KALAMBO MKOANI RUKWA YA PILI KWA UKUBWA BARANI AFRIKA

Posted on Nov 11, 2012 | No Comments

 
Kalambo Falls ambayo ni maporomoko makubwa ya maji ya asili yanayochukua nafasi ya pili kwa ukubwa barani Africa yakiwa na urefu wa mita 235 yanapatikana Mkoani Rukwa mpakani na nchi jirani ya Zambia ni miongoni mwa vivutio vya asili nchini Tanzania vyenye hadhi ya kupigiwa kura kuwa miongoni mwa maajabu saba ya asili nchini Tanzania na barani Afrika kwa ujumla. Vivutio vya Tanzania vinavyoshindanishwa na vingine tisa (9) barani Afrika katika nafasi ya maajabu saba barani Afrika ni Mlima Kilimanjaro, Bonde la Ngorongoro na hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Pigia vivutio hivi vitatu na vingine vinne ikiwemo Kalambo Falls kupata vivutio 7 vya maajabu ya asili nchini Tanzania na barani Afrika.
PIGA KURA YAKO KUPITIA HAPA http://sevennaturalwonders.org/tanzania

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru