photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > GWARIDE LA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA UHURU WA TANZANIA

GWARIDE LA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA UHURU WA TANZANIA

Posted on Dec 8, 2012 | No Comments

Kikosi cha paredi cha Jeshi la wananchi la Tanzania (JWTZ) Kikipita mbele ya maofisa wa Vyombo vya ulinzi na Usalama wakati wa gwaride la majaribio la kuadhimisha miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania katika uwanja wa Uhuru ambapo kesho Disemba 9 mwaka huu maadhimisho hayo yatafanyika katika uwanja huo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
(PICHA NA FULLSHANGWEBLOG.COM)
Kikosi cha jeshi la Magereza kikipita mbele ya maofisa hao.
Kikosi cha Bendera kutoka Jeshi la Wananchi la Tanzania JWTZ kikipita.
Kikosi cha Wanamaji kikitembea kwa Mwendo wa Polepole.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru