photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > SERIKALI INATUMIA KIGEZO GANI KUWALIPA WABUNGE MILLIONI 11 KWA MWEZI?.

SERIKALI INATUMIA KIGEZO GANI KUWALIPA WABUNGE MILLIONI 11 KWA MWEZI?.

Posted on Dec 8, 2012 | No Comments


Ni kigezo gani kinatumika kumlipa mbunge ambae kimsingi sifa yake ya kwanza ni kujua kusoma na kuandika, lakini mshahara na stahiki nyingine ni m 11 kwa mwezi, na wakati huo huo wanalipa mishahara ya waalimu madakitari na wataalam wengine mshahara wa laki 2 hadi m 2 au 3 kwa mwezi, ukizingatia kuwa hakuna mwalimu dakitari mwandisi ambae anaitwa hivyo bila kuwa na taaluma, je? hii nchi ni ya wanainchi au ya kundi dogo la wahuni wanaojiita wanasiasa? Ni kweli serikali inawajali wanainchi au wapo kwa ajili ya wanainchi? Ukizingatia kuwa mshahara kima cha chini ni 170000 wanajamvi nchi yetu hii tushikamane

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru