photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > ICC YAAHIRISHA KESI YA UHURU NA MUTHAURA HADI JULY 9

ICC YAAHIRISHA KESI YA UHURU NA MUTHAURA HADI JULY 9

Posted on Mar 7, 2013 | No Comments

Mahakama ya kimataifa ya ICC imeahirisha kesi iliyokuwa inawakabili watuhumiwa wawili nchini Kenya ndugu Uhuru Kenyata na Francis Muthaura hadi pale itakaposikilizwa tena tarehe 9 july 2013.

Wakati huo huo hadi kufikia saa 7:40 ya leo jioni Uhuru Kenyata anaongoza kwa kura 3,134,654 sawa na 51% akifuatiwa na Raila Odinga kwa kura 2,563,286 sawa na asilimia 42.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru