photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > PHILIP MANGULA ATEULIWA KUGOMBEA NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM

PHILIP MANGULA ATEULIWA KUGOMBEA NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM

Posted on Nov 11, 2012 | No Comments


Kamati kuu ya CCM iliyo kaa hapa dodoma imempendekeza Philip Mangula apigiwe kura na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM,Mangula amewahi kua Katibu Mkuu wa CCM na ameshika nafasi mbali mbali ndani ya Chama. Kwa sasa Philip Mangula ni Mashauri wa mambo ya siasa kwa Chama tawala cha Afrika ya Kusini ANC,nafasi ambayo ameanza kuitumikia tangu mwaka 2008,ana sifika kuwa ni mtu mwenye mbinu nyingi za kisiasa hasa kwenye masuala ya uchaguzi na mikakati ya kueneza siasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru