MLİPUKO WA BOMU ARUSHA,VİWANJA VYA SOWETO KWENYE KAMPENİ ZA CHADEMA
Posted on
Jun 15, 2013
|
1 Comment
Baada ya mlipuko kutoke polisi walipiga mabomu ya machozi,Je lengo lao lilikuwa ni nini haswa???
kwanini target iwe ni CHADEMA,na kwanini imetekelezwa siku ya hitimisho ya kampeni
Siasa hizi zinalenga ninh haswa??watu wasijitokeze kesho kupiga kura ama kuna mchezo zaidi ya huu umepangwa kufanyika
Vita ya Ukombozi ni vita visivyokwisha mpaka watu watakapo kombolewa,mabomu risasi na kutumia njea yoyote ile nje ya Demokrasia haiwezi kuzuia mabadiliko
watu waliojeruhiwa ni wengi na Mpaka sasa waliokufa wanafikia watatu.
Pole kwa makamanda waliojeruhiwa na tuwaombee Heri waliotangulia,hakika damu yao itakuwa chachu ya mabadiliko
Mungu İbariki Tanzania,Mungu İbariki chadema na viongozi wake wote na makamanda wote walio mstari wa mbele kuikomboa Tanzania.
Amein

Hivii ndivyo ilivyokuwa kwenye mkutano wa chadema kabla ya tukio.
Watu wauwawa kea kupigwa na bomu mjini Arusha wengi wAjeruhiwa vibaya Mbowe Lema wasalimika.
Oooh God where are we going.
ReplyDelete